Rais mtarajiwa wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, anajiandaa kuchukua rasmi madaraka// Kiongozi wa chama cha Social Democrats, SPD, Martin Schulz, leo anakutana na Rais wa Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier, kujaribu kumshawishi afikirie upya kuhusu msimamo wake wa kukataa kuingia kwenye serikali mpya ya muungano na Kansela Angela Merkel.