Rais mteule wa Marekani Donald Trump anaonekana kulegeza misimamo kuhusu baadhi ya ahadi alizozitoa wakati wa kampeni// Takribani makundi 12 ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameungana hapo jana chini ya vuguvugu lijulikanalo kama " Bye Bye Kabila".