Imesalia siku mbili kabla uchaguzi wa rais kufanyika upya nchini Kenya// Viongozi wa ngazi ya juu wa kundi la waasi la Popular Forces of Burundi, FPB waliokuwa wamekamatwa nchini Tanzania, wamerudishwa Burundi// Serikali ya jimbo la Catalonia nchini Uhispania inatarajiwa kukutana wiki hii.