1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.08.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S23 Agosti 2017

Angola leo hii inafanya uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa kumuingiza madarakani waziri wa ulinzi wa chama tawala nchini humo Joao Lourenco// Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa kuanzia leo magazeti yote yanayochapishwa nchini humo yanapaswa kusajiliwa upya// Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameamuru taasisi ya jeshi inayounda silaha nchini mwake kuunda roketi zaidi zenye nguvu.

https://p.dw.com/p/2ih7A