Nchini Syria, wanajeshi yanayoungwa mkono na Marekani wanakaribia kuingia mjini Raqqa// Taarifa kutoka kwa wadadisi zilizotolewa Jumanne hii zinaeleza ongezeko la wimbi la propaganda za mitandaoni kunakofanywa kwa kiasi kikubwa na Urusi// Zimesalia siku mbili kabla ya tume ya uchaguzi nchini Kenya kuweka bayana idadi kamili ya wanaowania viti mbambali katika uchaguzi mkuu tarehe 8 Agostii.