Mkutano wa kilele wa kujadili hali ya kibinadamu duniani umeanza leo mjini Istanbul// Nchini Kenya wafuasi wa upinzani wanaendelea na maandamano ya kuishinikiza tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini humo IEBC ijiuzulu// Mazungumzo ya kutafuta amani nchini Burundi yanaendelea jijini Arusha// Rais wa Marekani Barack Obama yuko ziarani nchini Vietnam.