Polisi wa kupambana na Ghasia mjini Nairobi leo wameshinda mchana kutwa wakijaribu kuzuia makundi ya waandamanaji kuingia katikati ya mji// Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amekutana na kufanya mazungumzo na Imam mkuu wa msikiti wa Al-Azahr wa nchini Misri.