Mgombea pekee katika uchaguzi wa rais utakaofanyika Jumatatu nchini Misri, Abdel Fatah el Sisi amewahi kufanya mikutano miwili ya kampeini katika mji mkuu Cairo// Umoja wa Ulaya umetoa idhini kwa kwa kampuni kubwa ya kutengeneza madawa ya nchini Ujerumani ya Bayer kuichukua kampuni ya Monsanto.