1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.03.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Machi 2017

Nchini Tanzania rais John Pombe Magufulli amefanya mabadiliko madogo katika baraza lake la Mawaziri// Polisi wa nchini Uingereza wamesema wanaamini kwamba mashambulizi ya jana yanahusiana na ugaidi unaofanywa na makundi yenye itikadi kali za Kiislamu// Viongozi wa dunia wameungana pamoja kulaani shambulio lililofanywa katikati mwa jiji la London jana.

https://p.dw.com/p/2Zo5I