Makundi ya upinzani nchini Syria yamekubali kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya kutafuta amani ya nchi hiyo inayokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka sita sasa// Suala la kura ya maoni kumpa mamlaka zaidi rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, limesababisha mvutano miongoni mwa jamii ya Waturuki nchini Ujerumani.