Mazungumzo ya amani ya kutafuta suluhisho la kumaliza vita vya Syria yanaanza leo mjini Geneva// Ikulu ya Marekani imechelewesha kutangaza amri mpya za rais za kuchukua nafasi ya marufuku ya awali ya kuwazuia raia wa mataifa saba ya Kiislamu kuingia nchini humo// Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania TCU imechapisha orodha ya wanafunzi zaidi ya 8,000 wa vyuo vikuu 52 nchini humo.