1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.12.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S22 Desemba 2017

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepiga kura kwa wingi kupinga hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel// Majaji wa kukabiliana na ugaidi wamekamilisha uchunguzi wao wa lile shambulizi la kombora lililosababisha mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

https://p.dw.com/p/2pp8g