Mtu mmoja ameuwawa leo Ijumaa katika Ukanda wa Gaza kutokana na maandamano zaidi yanayofanywa na Wapalestina ya kuipinga Marekani// Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya waasi wametia saini makubaliano ya kusitisha vita// Baadhi ya wakulima wenye asili ya kizungu wameanza kurudi Zimbabwe.