Wakati polisi wakiendelea na msako mkali dhidi ya washukiwa wa mashambulizi ya Soko la Krismas mjini Berlin yaliyouwa watu 12, vyombo vya usalama nchini Ujerumani vimekumbwa na ukosoaji mkubwa// Polisi nchini Tanzania imetoa rai kwa raia wa nchi hiyo, kusaidia kutoa taarifa kuhusu mahali alipo Ben Saanane// Takriban watu 34 waliuwawa na walinda usalama katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.