Kama ulivyosikia katika taarifa yetu ya habari Rais Donald Trump wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wameingia katika vita vikali vya maneno ma kushutumiana huku kila mmoja akimuita mwenziye majina yasio na staha// Mwanasheria Mkuu nchini Kenya Githu Muigai ameipuuza hofu kuwa iwapo uchaguzi hutafanyika tarehe 26 mwezi ujao, itaundwa serikali ya mpito kuiongoza nchi hiyo.