1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.09.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S22 Septemba 2017

Martin Schulz mgombea wa kiti cha ukansela nchini Ujerumani kupitia chama cha Social Democratic, SPD ni mpinzani mkuu wa Kansela Angela Merkel wa chama cha Christian Democratic Union, CDU// Agizo la Rais wa Tanzania John Magufuli la kutaka kujengwa kwa ukuta katika eneo linalozunguka machimbo ya Tanzanite huko Simanjiro, umepokelewa kwa hisia tofauti na wadau wa madini mkoani humo.

https://p.dw.com/p/2kVng