1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.08.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S22 Agosti 2017

Mwanasheria wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA Tundu Lisu ambaye ni Mkosoaji wa serikali ya Tanzania ametiwa mbaroni na polisi mchana wa leo// Mahakama Kuu nchini Uganda imewahukumu viongozi wanne wa Kiislam kifungo cha maisha gerezani// Serikali ya Afghanistan imeipongeza hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kutangaza kuwa atapekela wanajeshi zaidi nchini humo.

https://p.dw.com/p/2iepX