1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.06.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S22 Juni 2018

Kansela Angela Merkel amekutana na Waziri Mkuu wa Lebanon, Saad Hariri, katika ziara yake ya siku mbili ambapo pia anatarajiwa kukutana na maafisa, wafanyabiashara na wajumbe wa mashirika ya Umoja wa Mataifa// Viongozi wanaohasimiana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wake wa zamani Riek Machar, hatimaye wamekutana kwa mara ya kwanza mjini Addis Ababa, Ethiopia.

https://p.dw.com/p/304q6