Mzunguko wa fedha nchini Tanzania unatajwa kudorora miongoni mwa wananchi kutoka shilingi trilioni 3.8 kwa mwaka 2015 na kufikia trilioni 3.4 mwaka 2017 hii ni kutokana na kuathiriwa na serikali kuchelewa kuwalipa wafanya biashara wanaouza huduma na bidhaa serikalini