Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Syria utafanya uchunguzi kuhusu madai ya kuuawa raia karibu na mji wa Raqa nchini Syria// Mwanachama maarufu wa chama cha Social Demokratic SPD na aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Frank Walter Steimeier leo ameapishwa kuwa rais wa Shirikisho la Jamuhuri ya Ujerumani.