Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili uwezekano wa kuongeza muda wa kuhudumu kwa kikosi cha Wanajeshi wa kulinda amani katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo MONUSCO// Mawaziri wa mambo ya ndani kutoka Umoja wa Ulaya na nchi za Afrika kaskazini zilizoko katika ukanda wa bahari ya Meditrenia wamekutana mjini Roma Italia.