Wakaazi wa jimbo la Catalonia nchini Uhispania wanapiga kura leo katika uchaguzi wa majimbo baada ya kura ya maoni ya kutaka kujitenga kusababisha mgogoro wa kisiasa// Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa MONUSCO nchini Kongo vinapanga kufunga kambi zake nchini humo.