1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.12.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S21 Desemba 2017

Hadhara kuu ya Umoja wa mataifa inatarajiwa kuupigia kura mswaada wa azimio linalopinga kutambuliwa mji wa Jerusalem// Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limesema uhakika wa kupatikana chakula katika maeneo ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini unaendelea kupungua kwa haraka// Kongamano la Kiswahili la Kimataifa limefayika leo Zanzibar.

https://p.dw.com/p/2pmg3