Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ametangaza rasmi kwamba atagombea muhula wa nne katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani// Kwa mara ya kwanza, Kanisa Katoliki nchini Rwanda limeomba msamaha kuhusu nafasi yake kwenye mauaji ya halaiki// Jukwaa la Katiba nchini Tanzania limemtaka Rais John Magufuli kukamilisha mchakato wa katiba mpya haraka iwezekanavyo.