Afrika Kusini inajiondoa kutoka uanachama wa mkataba wa Roma uliounda mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifu wa kivita ya ICC// Viongozi wa mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya wameshindwa kukubaliana na juu ya hatua ya pamoja ya kuionya Usuri kuhusiana na hatua kali zinazoweza kuchukuliwa dhidi yake.