1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.10.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S21 Oktoba 2016

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekamilisha mkutano wao wa siku mbili mjini Brussels// Usitishaji mapigano katika jimbo la Aleppo kaskazini mwa Syria uliotangazwa na Urusi unatajwa kuendelea// Donald Trump atayakubali matokeo ya uchaguzi wa hapo Novemba 8 kama tu atashinda// Benki Kuu ya Uganda imechukua uongozi, uendeshaji na usimamizi wa Benki ya Crane.

https://p.dw.com/p/2RXRc