Nchini Kenya Maafisa wa tume ya uchaguzi ya IEBC wanashusha pumzi baada ya mahakama ya juu kuituhumu mifumo ya teknolojia na wala sio wao iliyopelekea uchaguzi wa rais wa Agosti kubatilishwa// Tarehe 21 Septemba kila mwaka ulimwengu unaadhimisha siku ya amani duniani.