1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.07.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S21 Julai 2017

Serikali ya Tanzania imewataka wafanyakazi wa kigeni wa kampuni ya uchimbaji wa madini ya Acacia kuondoka nchini humo// Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, MONUSCO, kimetangaza hatua ya kuzifunga kambi zake tano katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

https://p.dw.com/p/2gwpv