1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.07.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S21 Julai 2017

Wapalestina wamepambana na polisi wa Israel ndani na maeneo ya karibu na Jerusalem hii leo baada ya kumalizika swala ya Ijumaa// Jeshi la polisi nchini Tanzania bado linaendelea kumshikilia mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo; CHADEMA Tundu Lisu// Serikali ya Zanzibar imezindua kanuni mpya ya kudhibiti matumizi ya tumbaku.

https://p.dw.com/p/2gzIi