Mahakama ya rufani nchini Kenya jana ilitengua uamuzi wa Mahakama kuu uliozuia kampuni ya Al Ghurair ya Dubai kuchapisha karatasi za kupigia kura za urais// Serikali ya Kenya kutangaza uwezekano wa kuifunga mitandao ya kijamii iwapo usambazaji wa ujumbe wa chuki utaendelea kukithiri kwenye maeneo hayo hasa wakati Kenya inapoelekea uchaguzi mkuu// Serikali ya Ujerumani inaichukulia hatua Uturuki.