Wafungwa wasiopungua elfu 60 waripotiwa kufariki katika magereza yaliyo chini ya utawala Syria tangu kuzuka kwa vita nchini humo, wachunguzi wanaendelea kutafuta chanzo cha kuanguka kwa ndege ya Misri katika bahari ya Mediterania, na serikali ya Iraq yaimarisha ulinzi mjini Baghdad baada ya waandamanaji kuvamia eneo lenye ulinzi mkali la Green Zone