Baada ya mtu aliyebebea silaha jana usiku kumuua polisi mmoja kwa risasi na kuwajeruhi wengine wawili jijini Paris, Ufaransa, wanasiasa mbalimbali wametoa kauli kuhusu shambulio hilo// Waziri wa ulinzi wa Marekani Jim Mattis akiwa ziarani nchini Israel amesema "hakuna shaka yoyote" kwamba serikali ya Bashar al Assad wa Syria inamiliki silaha za kemikali.