Emmanuel Macron mgombea wa urais nchini Ufaransa ni mwanasiasa wa sera za wastani na anagombania uchaguzi huo wa rais uliopangwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23 April katika duru ya kwanza// Wakulima katika eneo la bonde la ufa, nchini Kenya wamekumbwa na hofu kutokana na uvamizi wa wadudu aina ya viwavijeshi wanaoripotiwa kusababisha uharibifu wa hali ya juu kwa mimea yao.