1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.03.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S21 Machi 2017

Serikali ya Rwanda imepongeza hatua ya Kanisa Katoliki la kuomba msahamaha// Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI James Comey amethibitisha kwa mara ya kwanza kwamba shirika hilo linachunguza uwezekano wa kuwepo na uhusiano kati ya timu ya kampeni ya Rais Donald Trump na Urusi// Leo ni Siku ya Misitu Duniani na kauli mbiu ya mwaka huu ni Misitu na Nishati.

https://p.dw.com/p/2Zd53