Pande zinazozana Syria zimekubali kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya kutafuta amani yatakayofanyika mjini Geneva Alhamisi wiki hii// Mvutano kati ya Uturuki na Ujerumani unazidi makali// Leo ni siku ya kimataifa ya kupinga ubaguzi duniani ambapo kauli mbiu ya mwaka huu 2017 ni vitendo vya ubaguzi wa rangi na uchochezi wa chuki katika muktadha wa uhamiaji.