1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.02.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Februari 2017

Rais wa Marekani, Donald Trump amemteua Herbert Raymond McMaster kuwa mshauri mpya wa usalama wa taifa// Takriban watoto milioni 1.4 kutoka Nigeria, Somalia, Sudan Kusini na Yemen wanateseka kutokana na utapiamlo uliokithiri na wanaweza kufariki mwaka huu// Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe leo anatimiza miaka 93 huku kukiandaliwa sherehe zitakazogharimu Dola za Kimarekani Milioni 2.5.

https://p.dw.com/p/2XyEB