Vikosi vya Iraq vinaendelea kuyateka maeneo ya kusini mwa Mosul// Mazungumzo ya amani ya Syria yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa yanatarajiwa kuanza siku ya Alhamis mjini Geneva// Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe leo hii aliwasilisha mashauri mawili katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo.