1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.12.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S20 Desemba 2017

Bunge la Uganda limepiga kura ya kuondoa ukomo wa umri wa mgombea urais// Rais mpya wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amesema suala la kufufua uchumi wa nchi hiyo ndio kipaumbele chake cha kwanza// Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imependekeza kipindi cha mpito kitakachofuatia kujitoa Uingereza katika umoja huo-Brexit.

https://p.dw.com/p/2pihn