Umasikini na tofauti za viwango vya vipato kati ya walionacho na wasionacho nchini Marekani vinaashiria kufikia katika hali mbaya zaidi katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Donald Trump// Juhudi za kuwaondoa watoto katika nyumba za mayatima na kuwajengea mazingira mazuri zaidi zimeongezeka duniani kote.