Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema anachukuliwa tukio la lori kuparamiya soko la Krismas mjini Berlin na kuuwa watu 12 kuwa la kigaidi// Kumeibuka vurugu hii leo katika mji wa Lubumbashi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Urusi,Uturuki na Iran zinakusudia kuimarisha juhudi za pamoja katika kupambana na ugaidi pia kutafuta suluhisho la kiasisa la machafuko nchini Syria.