1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.12.2015: Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Desemba 2015

Miongoni mwa tuliyonayo mchana huu: Mazungumzo ya amani kati ya pande zinazohasimiana Yemen yamalizika huku kukizuka mapigano mapya nchini humo // Uturuki yasema itaviondoa vikosi vyake vya kijeshi Iraq, kufuatia wito wa Rais Barack Obama wa Marekani // Ndege ya shirika la ndege la Ufaransa iliyokuwa inatoka Mauritius kuelekea Paris imelazimika kutua kwa dharura Mombasa, Kenya

https://p.dw.com/p/1HQfX