US- Donald Trump na Hillary Clinton wakutana tena kwa mara ya tatu na ya mwisho katika mdahalo wa televisheni huko Las Vegas// Vikosi vya Iraq vinasonga mbele kwa kasi kuliko ilivyotegemewa// Leo imetimia miaka mitano tangu kuuwawa kwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi magharibi mwa mji wa Sirte// Tanzania- kiasi cha watu 3,167 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ulaji wa vyakula vyenye sumu.