Kenya: Majaji wa mahakama ya juu wametoa maelezo yao leo, kuweka wazi kwa nini waliyafutilia mbali matokeo ya uchaguzi uliyofanyika Agosti 8 > Mahojiano/ Katika mahojiano na DW, Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesisitiza kuwa lazima mzozo wa Korea Kaskazini usuluhishwe kwa njia za kidiplomasia/ Nchi 51 zimesaini makubaliano mapya ya kupinga matumizi ya silaha za nyuklia duniani