Marekani yajiondoa kutoka baraza la haki za binadamu/ Wakimbizi waongezeka duniani/ Viongozi wa Sudan Kusini kukutana Addis Ababa/ Nchini Kenya kinachosubiriwa kwa sasa ni uchunguzi kuhusu shehena ya sukari iliyoingizwa nchini humo, inayodaiwa kuchanganywa na madini ya shaba na zebaki na kuzusha hofu ya kiafya kwa wananchi> Mahojiano/ Kombe la Dunia 2018