Benki ya Dunia: Watu milioni 140 katika mataifa ya Afrika, Amerika ya Kusini na Asia ya Kusini wanaweza kukimbia katika maeneo mengine ya mataifa yao ifikapo 2050 kutokana na kuongezeka kwa athari za mabadiliko ya Tabia Nchi/ Tanzania: Benki ya Dunia imeridhia kutoa zaidi ya dola millioni mia tatu kwa ajili ya miradi ya maji safi / Sarkozy jela yamnyemelea/ Uchaguzi Kenya uliingiliwa na wadukuzi?