1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S20 Januari 2017

Donald Trump, tajiri mkubwa anaemiliki majumba, mtangazaji nyota wa kipindi cha televisheni -Reality Show anaapishwa baadae hii leo kuwa rais wa 45 wa Marekani// Viongozi wa Guinea na Mauritania wako katika mji mkuu wa Gambia Banjul katika juhudi za mwisho za kidiplomasia kumshawishi Rais aliyeshindwa uchaguzi Yaya Jammeh kuachia madaraka.

https://p.dw.com/p/2W9Du