Makamu wa rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amechaguliwa kuwa rais wa chama tawala cha African National Congress ANC// Rais wa Marekani, Donald Trump ametumia uzinduzi wa mkakati wake wa kwanza wa Usalama wa Taifa kuzisifu faida za ushirikiano wa nchi yake na Urusi// Ujerumani hii leo inakumbuka mwaka moja kamili tangu kufanyika kwa shambulizi la lori katika soko la Krismasi mjini Berlin.