1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S19 Desemba 2016

Mvutano wa kisiasa unaendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wakati ambapo muhula wa uongozi wa Rais Joseph Kabila ukiwa unamalizika hii leo // Zoezi la kuwahamisha raia kutoka mjini Aleppo limeendelea tena// Rais mteule wa Gambia Adama Barrow amesema kuwa yuko tayari kuchukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo ifikapo mwezi Januari.

https://p.dw.com/p/2UWsX