1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.12.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S19 Desemba 2016

Usalama umeimarishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku kukiwa na hofu ya kuzuka ghasia ikiwa leo ni siku unaomalizika muhula wa uongozi wa Rais Kabila/ Kenya-Madaktari wanaogoma wameapa kutatiza huduma za matibabu katika hospitali binafsi kuanzia Alhamisi wiki hii/ Shirika la waandishi habari wasiokuwa na mipaka RSF limetowa ripoti kwamba kiasi ya waandishi habari 57 wameuwawa .

https://p.dw.com/p/2UY8I