Wadau wa habari nchini Tanzania wameanza rasmi kuujadili Mswaada wa Huduma ya Habari uliowasilishwa kwenye Kamati ya Bunge na serikali// Mgombea urais wa chama cha Democratic Hillary Clinton na wa Republican Donald Trump leo wanakutana katika mdahalo wa mwisho wa wagombea urais nchini Marekani.